Mithali 8:34-36
Ana heri Mtu yule anisikilizaye, Akisubiri siku zote malangoni pangu Akingoja penye vizingiti vya milango yangu.
Maana yeye Anionaye mimi aona UZIMA, Naye atapata kibali kwa BWANA.
Bali anikosaye hujidhuru nafsi yake mwenyewe, Na wao wanichukiao hupenda MAUTI.
No comments:
Post a Comment