Tuesday, January 15, 2013

MKRISTO NA UTANDAWAZI


Neno utandawazi au globalization lina
maana nyingi sana kutegemea na matumizi
yaloyokusudiwa...
Maan ya kawaida(People's
philosophy).....Utandawazi ni mfumo wa
kuifanya dunia iwe kama kijiji kimoja kwa
mfumo wa
mawasiliano,teknolojia,mtandao,siasa,uchumi
na utamaduni....
Maana ya Kiblia(Mtazamo wa kikristo-
Christian philosophy),Utandawazi ni
harakati za mfumo mpya wa kidunia ambao
utaongozwa na mpinga kristo unawezesha
watu wa dunia kuwa na uchumi
mmoja,siasa moja,tamaduni moja,dini
moja,sarafu moja,rais mmoja,na teknolojia
moja..Ufunuo 13:16-18
Kulingana na maandiko,utandawazi ulioko
leo ni maandalizi tu ya mfumo mpya ujao
wa mpinga Kristo 2The 2:6-10
Dalili ya mfumo huo mpya ni nyingi
ikiwemo kuongezeka kwa maarifa na kasi
ya utendaji isiyo ya kawaida ya
binadamu..Daniel 12:4
MADHARA YA UTANDAWAZI KWA
KANISA...
1.Wakristo wengi wamevutwa na dunia na
wametokea kuipenda dunia kuliko
Mungu..kwani wanaona matunda ya
utandawazi ni matamu..1Yoh 2:15-17
2.Mmonyoko wa maadili makanisani
3.Kanisa limekuwa la kisasa mno
4.Miziki ya dunia inawavuta waliookoka
KUJILINDA NA UTANDAWAZI
1.Chagua marafiki wazuri
2.Kutii neno la Mungu...

No comments:

Post a Comment